Skip to main content
job

MKUFUNZI MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII II- MAGARI (MOTOR VEHICLE MECHANICS)

Various Government MDAs (via PSRS)

Location
Tanzania
Workplace
Not specified
Engagement
Not specified
Closing date
31 July 2026

About this opportunity

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, anakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi hii.

Responsibilities

  • Kufundisha masomo ya fani ya Magari katika vyuo.
  • Kuandaa mitiririko na mpangilio wa masomo.
  • Kusimamia masomo ya vitendo.
  • Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi na kwenye mitihani.
  • Kufanya utafiti wa mahitaji ya mafunzo katika jamii inayozunguka chuo.
  • Kuandaa muhtasari wa masomo.
  • Kufanya maandalizi ya namna ya kuendesha mafunzo.
  • Kuandaa vielelezo vya kufundishia.
  • Kuendesha mafunzo ya nje ya chuo (Outreach Programs).
  • Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani.

Requirements

  • Wahitimu wa Kidato cha Nne/Sita.
  • Stashahada katika fani ya ufundi wa Magari kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.
  • Kuambatisha cheti cha kuzaliwa kilichothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.
  • Kuambatisha vyeti vya taaluma na nakala za vyeti zilizothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.
  • Kuambatisha barua ya maombi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu.

Eligibility

  • Lazima awe raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Asizidi umri wa miaka 45.
  • Waajiriwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba.
  • Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa wenye kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.

Benefits or funding

  • Ngazi ya mshahara: TGS C.

Apply on the official source

Ajira Lounge does not collect your application for this listing. Check the destination address before sharing personal information.

Open official application page

Something wrong with this listing?

Report suspected fraud, expired information, or an unsafe application method.